Tuesday, November 27, 2012

TUNASONGA MBELE NA KAZI YA BWANA.......

KARIBU USHIRIKI KAZI HII TAKATIFU.......






Watu wa Mungu wanazidi kujitoa kwa hali na Mali kumjengea BWANA MUNGU WAO nyumba ya Sala yenye hadhi....Unasubiri nini.....mpigie simu Mkuu wa Majengo aandike Jina lako katika Orodha ya walioshiriki kumjengea BWANA hekalu kwa kutoa mchango wako-Simu ya Mzee Mchome ni-0767 993 444...


Sehemu ya ngazi kupanda ghorofani............



KWA PICHA ZAIDI, BOFYA HAPA CHINI....

Saturday, July 7, 2012

CURRENT CHURCH DEVELOPMENT AS AT 7/7/2012


I

Inside the Church is the Church Building Committee headed by Elder F. Mchome on 7/7/2012 discussing a way forward on how to get funds to raise the upper floor of the New church building for SHAMSI SDA CHURCH, Please take part and contribute your money for the glory of GOD.....

AMO-SHAMSI SDA IN ACTION

javascript:void(0)
MR. Mseli the Chorister leading his fellow AMO-SHAMSI SDA Choir on 12/05/2012 when they welcomed AMO-KIJENGE SDA Members


AMO-KIJENGE VISIT AT SHAMSI SDA CHURCH






Monday, April 2, 2012

AWAMU MPYA YA UJENZI WA KANISA KWA 2012 YAANZA

Mkuu wa Majengo wa kanisa la Shamsi, Mzee Festo Mchome ametangaza katika Sabato ya tarehe 24/03/2012  mpango kabambe wa kuchangisha fedha za kuendeleza kazi ya Mungu ya kumjengea kanisa utakagharimu kiasi cha Shs. zisizopongua milioni hamsini (Shs. 50,000,000/-) za kitanzania.

Mimi, wewe na yule tunaombwa kwa unyenyekevu kumtolea Mungu sehemu ya kile alichotubariki kwacho ili sehemu ya kile tutachotoa kikawe hazina ya pale Atapotuandalia mioyo yetu......

Kuuona mchanganuo huo wa mahitaji halisi bofya hapa chini kwa HABARI ZAIDI